Treni za umeme na mafuta kuanzishwa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipita kwenye mashine hizo mara baada ya uzinduzi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli, amesema kuwa serikali imepanga kuondoa msongamano wa magari Jijini Dar es Salaam, ikiwa ni pamoja mpango wa kuanzisha safari ya treni ya mafuta na umeme kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS