Polisi Mwanza yaua majambazi wawili Ahmed Msangi - Kamanda wa Polisi MKoa wa Mwanza Watu wawili waliokuwa wakituhumiwa kwa ujambazi wameuawa wakati wakitaka kujaribu kuwatoroka askari polisi wilayani Ilemela mkoani Mwanza Read more about Polisi Mwanza yaua majambazi wawili