Mikoa 17 yafadhiliwa miradi ya maji na India

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika ufunguzi huo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameishukuru Serikali ya India kwa ufadhili wake wa miradi ya maji katika miji 17 nchi ambayo inalenga kupunguza tatizo la maji kwa wananchi wengi nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS