Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania dola bil 4.5

Rais Magufuli akiwa na mgeni wake Bi. Bella Bird, Ikulu Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Novemba, 2016 amekutana na Mwakilishi wa Benki ya Dunia katika nchi za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia Bi. Bella Bird

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS