Mwamuzi Mbeya City Vs Yanga alikuwa sahihi: Kamati

Mwamuzi akitoa kadi baada ya kuzongwa na wachezaji wa Yanga

Kamati ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka Tanzania imesema kuwa maamuzi yaliyofanywa na mwamuzi wa mchezo kati ya Mbeya City na Yanga siku ya jana katika dimba la Sokoine Mbeya, yalikuwa sahihi kwa asilimia 100.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS