Lema atamani mkewe alale magereza kwa siku 14
MKE wa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema, Neema Lema (33), mkazi wa Njiro, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na kuunganishwa katika kesi ya mume wake ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kuwa ni shoga.