Nyota mpya wa Azam achimba mkwara Ligi Kuu Bara

Samuel Afful (Kushoto) baada ya kusaini mkataba na klabu ya Azam

Nyota mpya wa Klabu ya Azam FC, Samuel Afful, ameweka wazi kuwa kikosi hicho kitakuwa moto kuelekea michuano mbalimbali itakayoshiriki kuanzia mwezi ujao kutokana na ujio wake na aina ya wachezaji aliowaona ndani ya timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS