EATV AWARDS zitaongeza thamani ya mauzo - TAFF

Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) Simon Mwakifwamba

Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema tuzo ambazo zimeandaliwa na EATV ambazo zipo kwenye mchakato sasa na wasanii mbalimbali wamejitokeza kujipendekeza katika tuzo hizo zitasaidia wasanii kupaa katika mauzo ya kazi zao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS