Taasisi zote za umma kujiunga na huduma za bima

Dkt. Philip Mpango - Waziri wa Fedha na Mipango

Serikali ya Tanzania imesema itahakikisha taasisi na mashirika yote ya umma yanajisajili na huduma za bima kutoka Shirika la Bima la Taifa kama mwongozo wa serikali unavyoelekeza sambamba na kuongeza mchango wa bima kwenye ukuaji wa uchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS