TEHAMA kumaliza kero za afya, elimu na ajira TZ

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora

Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imeainisha maeneo ya ubunifu ndani ya sera mpya ya Teknlojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kufanikisha utatuzi wa masuala mbalimbali katika jamii na kuondoa changamoto ya ajira kwa vijana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS