Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba na Mkurugenzi wa NIDA Andrew Massawe mapema leo Jijini Dar es salaam.
Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesema kuanzia Desemba mwaka huu mpaka Januari 2017 itaanza kutoa namba maalum za utambuzi kwa wananchi.