Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Mfalme wa Morocco Mohamed VI mara baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi jijini Dar es Salaam.
Mfalme wa Morocco Mtukufu Mohammed VI leo ameondoka Jijini Dar es Salaam na kuelekea Zanzibar.