Thomas Ulimwengu.

Aliyekuwa mshambuliaji wa TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Ulimwengu amesema kuwa kiwango alichofikia ni cha kucheza soka la kulipwa Ulaya hivyo yupo nchini akisubiri mazungumzo na klabu za Ulaya yakamilike na kwenda kusajiliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS