Ma-star wamtetea Miss Tanzania

Miss Tanzania 2016 Diana Edward (katikati aliyekaa) akiwa na warembo waliotinga tano bora.

Baada ya mrembo Diana Edward kutoka Kinondoni jijini Dar es salaam kutangazwa mshindi wa taji la 'Miss Tanzania' na kuandamwa na maneno kwenye mitandao, watu mbalimbali wajitokeza kumtetea mrembo huyo mwenye asili ya kimasai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS