Mauzo Soko la Hisa la Dar es Salaam yaongezeka

Patrick Mususa

Idadi ya mauzo katika soko la hisa la Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 39 kutoka shilingi bilioni 3.8 na kufikia shilingi bilioni 5.3 kwa mujibu wa taarifa za mwenendo wa biashara katika soko hilo katika kipindi cha wiki moja iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS