Simba SC yakubali kutekeleza agizo la BMT
Uongozi wa klabu ya Simba umekiri kupokea agizo lililotolewa na Baraza la Michezo La Taifa kwa mikono miwili linalohusu kufuatwa kwa mlolongo wa katiba, ili kukamilisha taratibu za mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo.