Simba SC yakubali kutekeleza agizo la BMT

Kutoka kushoto ni Rais wa Klabu ya Simba Evance Aveva akiwa na Katibu Mkuu wa Simba Patrick Kahemele

Uongozi wa klabu ya Simba umekiri kupokea agizo lililotolewa na Baraza la Michezo La Taifa kwa mikono miwili linalohusu kufuatwa kwa mlolongo wa katiba, ili kukamilisha taratibu za mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS