NACTE yavifungia vyuo 26 vya ufundi Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevifungia vyuo vya ufundi 26 kutokana na makosa mbalimbali, ikiwamo kushindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na kutoa mafunzo ambayo hayajathibitishwa. Read more about NACTE yavifungia vyuo 26 vya ufundi