Chama cha Kans. Merkel chaanguka uchaguzi wa mikoa

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel

Washirika wa Kansela wa Ujerumani Angela Merkel wamemtaka kiongozi huyo kubadilisha mwelekeo wa sera zake za wakimbizi baada ya chama chake cha CDU kushindwa katika uchaguzi wa kimkoa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS