Wajasiriamali Abdul Omary Kamugisha na Petro Nyaruba wakionesha moja ya samaki kutoka katika bwawa lao.
Uwekezaji katika ufugaji wa samaki sambamba na kilimo mchanganyiko umetajwa kuwa moja ya fursa chache ambazo iwapo itaungwa mkono na serikali inaweza kuwa suluhisho la kiuchumi kwa idadi kubwa ya Watanzania