Polisi wakiwa katika hali ya kujihami kufuatia maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi jimbo la Dallas Marekani.
Maafisa watano wa polisi mjini Dallas, Marekani wamepigwa risasi na kuuawa wakati wa maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi. Maafisa wengine sita wanauguza majeraha.