Upelelzi Kesi ya Boniface Jacob, waharakishwa

Boniface Jacob, mwenyekiti CHADEMA, kanda ya Pwani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeitaka Serikali kukamilisha upelelezi kwa wakati, kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai pekee yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS