Mtanzania awa Mjumbe Baraza Simamizi la Benki LDCs

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika linalohusika na Tafisi za Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, SIPRO, Bitrina Diyamett.

Mtanzania Bitrina Diyamett, ni miongoni mwa wajumbe 10 wa baraza simamizi lililotangazwa leo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa lengo la kusimamia maandalizi ya benki itakayoanzishwa kwa ajili ya kuimarisha teknolojia kwenye nchi zenye maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS