Mbeya City yaanza kujipanga upya kutumia Wambeya

Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.

Baada ya kumalizika kwa michuano ya ligi Kuu Tanzania bara msimu huu wa mwaka 2015/2016 timu ya Mbeya City imeanza mikakati mizito ya kujipanga kuhakikisha msimu ujao inakuwa moto wa kuotea mbali kama ilivyokuwa awali ikipanda daraja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS