Prof. Mkenda: Wanafunzi Someni Masomo ya Sayansi

Serikali ya Tanzania imesema inaendelea kuweka mazingira yatakayowawezesha wanafunzi wenye uwezo wa kusomea masomo ya Sayansi katika elimu ya Sekondari kujiunga na vyuo vya elimu ya juu ili kuwa na wanasayansi wengi zaidi nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS