Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa.
Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema fedha nyingi zinazopelekwa kwenye serikali za mitaa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu hazionyeshi thamani ya fedha.