Serikali itaendelea kutoa bei elekezi-Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiibu maswali bungeni

Serikali imesema kuwa itaendelea kutoa bei dira ya sukari nchi nzima ili kumsaidia mwananchi wa hali ya chini na tayari wameshakutana na waagizaji na wasambazaji wa sukari nchini ili kujua gharama za usafirishaji wa bidhaa hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS