Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga.
Watu wasiojulikana wamemuua kwa kumpiga risasi kadhaa askari wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Ally Kinyogoli, jana majira ya saa moja usiku wakati akiwa nyumbani kwake Mkoani Pwani.