Yanga kutua kesho na kwenda moja kwa moja kambini Yanga wakisherekea ushindi. Mashujaa wa Taifa, Yanga SC wanatarajiwa kurejea Dar es Salaam kesho mchana wakitokea Angola, ambako jana walikata tiketi ya kuingia hatua makundi ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika. Read more about Yanga kutua kesho na kwenda moja kwa moja kambini