Yanga yawasili Angola tayari kwa mchezo wa kesho

Yanga SC imewasili salama mjini Dundo, Angola baada ya safari ya kutwa nzima, tayari kwa mchezo wao wa kesho dhidi ya wenyeji, Sagrada Esperanca kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS