Wakili wa Kiiza Basigye, Ladislaus Rwakafuuzi akiongea na waandishi wa Habari
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye amesafirishwa kutoka Moroto ambako amekuwa akizuiwa tangu Jumatano iliyopita hadi jela yenye ulinzi mkali ya Luzira katika mji mkuu wa Uganda jana