Abiria Mabasi ya Haraka walia na Mashine za Tiketi

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wakiwa ndani ya basi la UDART katika Kituo cha Magomeni

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wameanza kutumia mabasi yaendayo kwa haraka kwa kulipa nauli huku wakikabiliwa na changamoto baada ya kuutumia usafiri huo kwa wiki moja iliyopita pasipo kulipia kutokana na kuwa katika majaribio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS