Tutajenga Mabweni kumuokoa mtoto wa kike-Jaffo

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Seleman Jaffo.

Serikali imesema ili kumuokoa mtoto wa kike kukatiza masomo yake kwa kupata mimba zisizotarajiwa itajenga mabweni katika maeneo ya jirani wanayosomea watoto hao pamoja na kuwashirikisha wazazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS