Jamii iache kuvunja haki za binadamu kwa wahanga

Dkt. Hellen Kijo-Bisimba Mkurugenzi Mtendaji (LHRC).

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC) Dkt. Hellen Kijo-Bisimba amekemea na kuitaka jamii kuacha kabisa kuwavunjia haki zao za kimsingi kwa makusudi wahanga wa matukio mbalimbali ya ajali na vitendo vya kiukatili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS