Jamii iache kuvunja haki za binadamu kwa wahanga
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC) Dkt. Hellen Kijo-Bisimba amekemea na kuitaka jamii kuacha kabisa kuwavunjia haki zao za kimsingi kwa makusudi wahanga wa matukio mbalimbali ya ajali na vitendo vya kiukatili.