Elimu bure changamoto kwa wenye mahitaji maalumu

Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko, wakitoa burudani kwa kuimba wimbo wao maalum.

Mratibu wa Mtandao wa Elimu nchini Tanzania, Bi. Catherine Sekwao, amesema kuwa watatumia maadhimisho ya wiki ya elimu duniani kutafuta utatuzi wa changamoto zinazowakabiliwa watoto wenye mahitaji maalumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS