TRA yaiachia sukari iliyokuwa inashikiliwa Mbagala
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imeachilia tani elfu 6,757 za sukari iliyokutwa kwenye maghala ya forodha huko Mbagala nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam iliingizwa nchini kihalali kwa kufuata taratibu zote za uingizaji sukari nchini.