Milioni 55 zarejeshwa na wafanyakazi hewa Songwe Mkuu wa mkoa wa Songwe, Luteni Mstaafu Chiku Galawa. Shilingi 55,632,929 zimerejeshwa ikiwa ni sehemu ya hasara ya fedha ambazo serikali ilipata kutokana na malipo ya watumishi hewa katika wilaya nne za mkoa wa Songwe. Read more about Milioni 55 zarejeshwa na wafanyakazi hewa Songwe