Majaliwa kumuwakilisha Magufuli mkutano wa London

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuondoka nchini leo jioni (Jumanne, Mei 10, 2016) kwenda London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi unaojadili suala la kupambana na rushwa (Anti-Corruption Summit 2016) utakaofanyika Mei 12.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS