Tanzania yawasilisha ripoti ya Haki za Binadamu UN

Mwakilishi wa Kudumu wa nchi Tanzania, katika ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva, Balozi Modest Mero,(kulia).

Tanzania imewasilisha leo ripoti yake ya miaka minne ya utekelezaji wa haki za binadamu kwa Umoja wa Mataifa mjini Geneva nchini Uswisi, ambapo imeeleza kupiga hatua katika maeneo kadhaa ikiwamo elimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS