Wapeni vimbaumbele wazawa katika miradi-Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ameitaka mifuko ya hifadhi za Jamii,na wawekezaji mbalimbali nchini kutoa fursa za ajira kwa wazawa ili kukuza maendeleo ya mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla.