Trilioni 1 zatolea utekelezaji miradi mbalimbali
Serikali kupitia Benki ya Uwekezaji Tanzania-TIB, na Benki ya Maendeleo ya Kilimo-TADB, zimetoa mikopo yenye thamani za shilingi trilioni 1.106 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kijamii na kimkakati ili kusaidia kukuza uchumi wa nchi.