Trilioni 1 zatolea utekelezaji miradi mbalimbali

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji.

Serikali kupitia Benki ya Uwekezaji Tanzania-TIB, na Benki ya Maendeleo ya Kilimo-TADB, zimetoa mikopo yenye thamani za shilingi trilioni 1.106 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kijamii na kimkakati ili kusaidia kukuza uchumi wa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS