Mashabiki Simba wataka viongozi wang'oke

Mara baada ya tmu ya Simba SC kupoteza mchezo wa jana kwa bao 1-0 dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam mashabiki wameutaka uongozi uliopo hivi sasa kujiuzulu na kuacha timu kwa uongozi mwingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS