Zaidi ya bil 4 za zakusanywa na HESLB
Zaidi ya shilingi bilioni 4 zimekusanywa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), katika siku 30 za mwanzo walizozitoa kwa wanufaika wa mkopo kurejesha fedha wanazodaiwa na waajiri kupeleka majina ya waajiriwa.