Zaidi ya bil 4 za zakusanywa na HESLB

Zaidi ya shilingi bilioni 4 zimekusanywa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), katika siku 30 za mwanzo walizozitoa kwa wanufaika wa mkopo kurejesha fedha wanazodaiwa na waajiri kupeleka majina ya waajiriwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS