Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu.
Takwimu za ugonjwa wa Kipindupindu zinaonyesha kuwa hadi kufikia jana, nchini jumla ya wagonjwa 21,262 waliougua ugonjwa huo tangu kutokea kwa mlipuko wake, na kati ya hao, watu 333 wamepoteza maisha hadi sasa.