Tutarudi bungeni ila msimamo wetu ni ule ule-Mdee

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Halima Mdee

Wanawake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema kuwa licha ya kesho kurejea katika vikao vya bunge baada ya kususia ila msimamo wao wa kujiondoa katika umoja wabunge wanawake upo pale pale.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS