Wananchi wailalamikia Polisi Njombe

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Prudenciana Protas akizungumza na waandishi hawapo pichani.

Wananchi wa Kata ya Iwungilo Halmashauri ya Mji wa Njombe wamelilalamikia jeshi la polisi kwa kushindwa kuzuia wizi wa pikipiki na mauaji kutokana na baadhi wahalifu wanaotuhumiwa katika jamii kuachiwa muda mfupi tu wafikishwapo polisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS