Mafuvu ya watu waliouwa wakati wa vita vya mauaji ya Kimbari
Meya wawili wa zamani wa Rwanda watapandishwa kizimbani Jumanne kujibu mashitaka yanayohusu uhalifu dhidi ya ubinaadamu yakiwamo mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ya taifa hilo la Afrika ya Kati.