Jamii iwape elimu watoto wenye mahitaji maalum Watoto wenye Mahitaji Maalum wakiwa darasani Watanzania wametakiwa kuwapa elimu watoto mwenye ulemavu na kuachana na dhana ya kuwa walemavu hawawezi, kwani wakipatiwa elimu wanaweza kujitegemea kama watoto wengine . Read more about Jamii iwape elimu watoto wenye mahitaji maalum