Sababu 7 mwanasheria Kinondoni kutumbuliwa

Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Boniface Jackob

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Mh. Boniface jana ametangaza kuwasimamisha kazi kwa watumishi wawili wa Manispaa ya Kinondoni, akiweo Mwanasheria Mkuu Bw. Burton Mahenge na Mthamini wa Manispaa Bw. Einhard Chidaga kwa kuisababisha hasara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS