Malipo ya kidijitali mwarobaini wa ubadhirifu

Afisa Mtendaji huyo wa Umoja Switch Bw. Danford Mbilinyi akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Mfumo wa malipo kwa njia ya kidijitali umeelezwa kuwa ndio mwarobaini wa kupambana na ubadhirifu katika taasisi na idara za umma huku ukichochea kasi ya ukuaji wa uchumi kwa kurahisisha malipo ya fedha na huduma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS