TFDA yateketeza bidhaa bandia za sh. bilioni 21

Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Bw. Hiiti Sillo.

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), tangu kuanzishwa mwaka 2013,imekamata na kuteketeza jumla ya bidhaa za chakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba zenye athari kwa afya za binadamu, zaidi ya tani 3,000 zenye thamani ya zaidi ya bilioni 21.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS