Serikali kuanza ukarabati na ujenzi wa Mahakama

Waziri wa Sheria na Katiba, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe

Serikali imesema kuwa inafanyia mabadiliko mpango wa miaka mitano wa ujenzi na ukarabati wa mahakama nchini ikiwa ni pamoja na kurekebisha maslahi ya Mahakimu na wanasheria ili wafanye kazi hiyo kwa weledi zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS