Wakulima wa mpunga wataka elimu ya Kilimo bora
Wakulima katika kijiji cha Sakalilo kata ya Ilemba wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa, wameombwa kupanuliwa kwa wigo wa Utoaji Elimu ya kilimo cha kisasa katika zao la mpunga ili kuongeza tija katika uzalishaji.